Unga wa sima, mahindi yaadimika

Huenda maghala ya serikali yasiwe na mtaji wa kutosha wa mahindi.
Hii ni baada ya baadhi ya wasagaji nafaka kufunga shughuli zao kwa kile wanachodai kuwa ukosefu wa zao hilo kutoka kwa bodi ya NCPB.
Haya yanajiri huku wauzaji wa jumla sawa na wale wa rejareja wakilalamikia ukosefu wa unga, jambo linaloathiri biashara na uhusiano wao na wateja.

Tags:

UNGA Ugali mahindi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories