UoN yabatilisha cheti cha seneta Linturi
Published on: November 30, 2017 08:35 (EAT)
Chuo kikuu cha Nairobi kimefutilia mbali shahada ya seneta wa Meru Mithika Linturi kwa tuhuma za kuwasilisha stakabadhi ghushi kusajiliwa chuoni humo.
Hatua hiyo ya chuo kikuu cha nairiobi inafuata uchunguzi ulioanzishwa dhiidi ya viongozi 106 kabla ya uchaguzi mkuu wa agosti nane.
Seneta huyo ambaye kwa sasa anaendelea na masomo ya shahada ya uzamili katika sheria amepuuzilia mbali hatua hiyo akisema kuwa hajaarifiwa rasmi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment