Uongozi wa Donald Trump
Published on: January 21, 2017 08:29 (EAT)
Baada ya Donald Trump kuchukua hatamu za uongozi wa Marekani alianza harakati za kutekeleza mabadiliko kadhaa ikiwemo bima ya afya, almaarufu Obamacare. Mbali na maswala ya sera, Trump, mkewe Melania na viongozi wengine waliingia kwa haiba katika ikulu ya White House kwenye sherehe za kuanzisha uongozi wake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment