Uongozi wa Donald Trump
Published on: January 21, 2017 08:29 (EAT)
Baada ya Donald Trump kuchukua hatamu za uongozi wa Marekani alianza harakati za kutekeleza mabadiliko kadhaa ikiwemo bima ya afya, almaarufu Obamacare. Mbali na maswala ya sera, Trump, mkewe Melania na viongozi wengine waliingia kwa haiba katika ikulu ya White House kwenye sherehe za kuanzisha uongozi wake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment