Upinzani unahofia mwendo wa IEBC
Published on: March 02, 2017 09:22 (EAT)
Siku moja baada ya tume ya IEBC kuwahakikishia Wakenya kuwa iko tayari kuandaa uchaguzi wa Agosti mwaka huu, muungano wa NASA umeorodhesha masuala kadhaa amabayo wanasema yanaashiria tume hiyo kamwe haiwezi kuandaa uchaguzi huru na wa haki. Vinara watatu wa muungano huo wakiongozwa na raila Odinga wanasema Kando na IEBC kuchelewa kununua mfumo wa kuandaa uchaguzi, kuna masuala kadhaa yaliyo gizani na kutilia shaka uchaguzi huo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment