Usajili wa wafungwa

Usajili wa wapigakura katika magereza ya humu nchni utaanza hapo kesho huku tume ya iebc ikiwalenga takriban wafungwa elfu kumi. Shughuli hiyo ambayo ilifaa kuanza leo ilisitishwa ili kutoa nafasiya mashauriano kuhusu jinsi mpango huo utaandaliwa kama anavyoripoti sam Gituku.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories