Usajili wa wapiga kura
Published on: February 19, 2017 08:14 (EAT)
Vituo vya usajili wa wapiga kura vilionekana kupungukiwa na shughuli katika siku ya mwisho ya shughuli hiyo ambapo sasa ni bayana kwamba tume ya Iebc kamwe haijafikia lengo lake la kuwasajili wapigakura wapya zaidi ya milioni sita. Kulingana na takwimu ambazo runinga ya Citizen imepata baadhi ya maeneo yakiwemo Kiambu, murang’a na Meru yanaongoza kwa viwango vya wakenya waliojitokeza kujisajili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment