Usiri wa jumba la kifahari la bwanyenye Jimmy Wanjigi

Kwa miaka mingi ameishi maisha yake na familia yake bila kuyaweka hadharani, wachache tu wamkifahamu. Si mwengine bali ni mfanyibiashara Jimmy Wanjigi aliyewapa wakenya fursa ya kuchungulia ndani ya maisha yake baada ya kufanya msako uliogonga vichwa vya habari ndani ya nyumba yake.

Tags:

Muthaiga Jimmy wanjigi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories