Usiri wa jumba la kifahari la bwanyenye Jimmy Wanjigi
Published on: October 18, 2017 08:33 (EAT)
Kwa miaka mingi ameishi maisha yake na familia yake bila kuyaweka hadharani, wachache tu wamkifahamu. Si mwengine bali ni mfanyibiashara Jimmy Wanjigi aliyewapa wakenya fursa ya kuchungulia ndani ya maisha yake baada ya kufanya msako uliogonga vichwa vya habari ndani ya nyumba yake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment