Usiri wa jumba la kifahari la bwanyenye Jimmy Wanjigi
Published on: October 18, 2017 08:33 (EAT)
Kwa miaka mingi ameishi maisha yake na familia yake bila kuyaweka hadharani, wachache tu wamkifahamu. Si mwengine bali ni mfanyibiashara Jimmy Wanjigi aliyewapa wakenya fursa ya kuchungulia ndani ya maisha yake baada ya kufanya msako uliogonga vichwa vya habari ndani ya nyumba yake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment