Utabiri wa hali ya hewa waonesha ukame utaendelea
Published on: January 04, 2017 08:30 (EAT)
Watu zaidi ya milioni 1.3 wataendelea kutegemea chakula cha msaada kwa miezi sita ijayo. Hali hii imesababishwa na mvua kidogo iliyonyesha katika msimu uliopita ambapo inatabiriwa kuwa kuanzia sasa hadi mazao yapatikane mwezi wa sita hivi, maeneo yaliyoathirika na baa la njaa yataendelea kuhitaji chakula. Umoja wa mataifa umetabiri kutakuwepo na makali ya ukame nchini mwaka huu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment