Uteuzi: Kidato Cha 1
Published on: January 27, 2015 08:08 (EAT)
Kamati ya bunge ya elimu inamtaka mzazi yeyote mwenye malalamishi kuhusu uteuzi wa wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule za upili ayawasilishe kwa tume hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment