VIDEO: Tohara Ya Mjini, Utamaduni wa Wabukusu wa tohara sasa waingia mjini

Huku shughuli za upashaji tohara katika jamii ya wabukusu zinapozidi kunoga katika kaunti za Busia,Kakamega na Transnzoia,kaunti ya Nairobi haikusalia nyuma.Katika mtaa wa Kawangware hapa jijini Nairobi,mila na tamaduni hizo za kibukusu zilichukua nafasi yake katika boma lake Ken Manyonge ambapo mwanao Jared Wafula alitayarishwa kukabiliana na kisu cha ngariba alfajiri na mapema

Tags:

SIMIYU WABUKUSU

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories