VIDEO: Zawadi Ya Macho: Baadhi ya watu hutoa macho yao kama msaada wanapofariki

Je, wajua kwamba unaweza kuhiari kutoa konea zako na kumsaidia mtu ili awe na uwezo wa kuona utakapofariki? Wakenya wengi hawajakumbatia suala hilo,labda kutokana na itikadi zao, licha ya kuwa huduma ya kupandikiza konea ipo nchini.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories