Vigogo wa NASA wakariri mpango wa kulinda kura

Muungano wa NASA umemsuta Kaimu waziri wa usalama Fred Matiangi kutokana na matamshi yake hapo jana kwamba walinzi wa NASA katika kila kituo cha kupigia kura hawataruhusiwa kukaribia vituo hivyo. Seneta wa Siaya James Orengo anasema Matiang’i anatoa mfano kuwa serikali inanuia kujiingiza kwenye maandalizi ya uchaguzi kazi ambayo inafaa kuwachiwa tume ya IEBC.

Tags:

raila odinga Fred Matiang'i NASA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories