Vijana 97 huambukizwa virusi vya UKIMWI kila siku

Vijana 97 walio na kati ya umri wa miaka 15 na 24 huambukizwa virusi vya ukimwi kila siku. Haya ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na baraza la kitaifa la kuthibiti ugonjwa wa UKIMWI. Takwimu hizo zaonyesha kuwa vijana hao wamechangia asilimia 51 ya maambukizi mapya. Kaunti za Busia na Bungoma zikiongoza kwa maambukizi mapya.

Tags:

HIV/AIDS UKIMWI Vijana Maambukizi ya Ukimwi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories