Vijana watoweka kwale
Published on: November 19, 2016 08:19 (EAT)
Jumla ya vijana watano waendashaji boda boda wametekwa nyara na watu wasiojulikana katika maeneo ya Diani na Ukunda katika kaunti ya Kwale chini ya muda wa miezi miwili iliyopita. inadaiwa kuwa vijana wanaopotea wanalazimishwa kujiunga na kundi ya alshabaab au wanauawa kiholela. Nicky Gitonga anatupasha zaidi kutoka kwale.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment