Vinara wa NASA wafanya mkutano wa kampeni hapa Nairobi
Published on: September 03, 2017 08:51 (EAT)
Vinara wa Nasa wamesisitiza kuwa lazima kufanyike mabadiliko ya kutosha katika tume ya uchaguzi IEBC kabla ya uchaguzi kurudiwa. Raila Odinga na Kalonzo musyoka ambao waliongoza mkutano wa hadhara eneo la Mathare waliwaonya Rais Kenyatta na naibu wake dhidi ya kuingilia mahakama ya juu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment