Vinara wa NASA wahudhuria mazishi Bungoma

Nao muungano wa Nasa leo umekariri kwamba hautakubali kampuni ya Safran Morpho kushughulikia uchaguzi wa urais ukisema kwamba walihusika pakubwa katika wizi unaodaiwa ulitokea. Matamshi haya yanajiri muda mfupi baada ya kampuni hiyo ya Safran kujiondoa lawamani ikidai kwamba hakuna udukuzi uliofanyika.

Tags:

bungoma NASA Wafula wa munyinyi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories