Vinara wa NASA wahudhuria mazishi Bungoma

Nao muungano wa Nasa leo umekariri kwamba hautakubali kampuni ya Safran Morpho kushughulikia uchaguzi wa urais ukisema kwamba walihusika pakubwa katika wizi unaodaiwa ulitokea. Matamshi haya yanajiri muda mfupi baada ya kampuni hiyo ya Safran kujiondoa lawamani ikidai kwamba hakuna udukuzi uliofanyika.

Tags:

bungoma NASA Wafula wa munyinyi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories