Vinara wa Nasa waonyesha umoja wao Machakos
Published on: January 19, 2018 08:31 (EAT)
Vinara wa NASA wamepuuzilia mbali madai kuwa kuna mgawanyiko kati yao kuhusiana na suala la kuapishwa. Wamesema kuwa mipango hiyo inaendelea na kuwa muda wa kufanya mazungumzo unaedelea kwisha. Stephen letoo alihudhuria hafla machakos.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment