Vinara wa NASA wasema mageuzi ya sheria hayafai
Published on: October 07, 2017 08:28 (EAT)
Vingozi wa Muungano wa NASA wanasisitiza kuwa hawatashiriki marudio ya uchaguzi wa urais, iwapo mabadiliko wanayopendekeza hususan katika tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kabla ya uchaguzi huo hayatatimizwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment