Viongozi kutoka bonde la ufa watafuta suluhu la usalama
Published on: September 09, 2017 08:37 (EAT)
Ukosefu wa usalama katika kaunti ya Laikipia ulikuwa kigezo cha kuwaleta pamoja viongozi themanini kutoka maeneo ya Laikipia, Isiolo, Samburu, Pokot Magharibi na Baringo kutafuta suluhu ya kudumu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment