Viongozi wa Jubilee kutafuta suluhu ya mgogoro kati ya Sonko na Igathe
Published on: January 13, 2018 08:05 (EAT)
Siku moja baada ya taifa kutikiswa na taarifa za kujiuzulu naibu gavana wa Nairobi Polycarp Igathe, juhudu za kuwapatanisha wawili hao zimeanza rasmi kutoka kwa viongozi mbali mbali huku sababu kuu ya mgogoro baina yao zikibainika.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment