Viongozi wa Jubilee kutafuta suluhu ya mgogoro kati ya Sonko na Igathe

Siku moja baada ya taifa kutikiswa na taarifa za kujiuzulu naibu gavana wa Nairobi Polycarp Igathe, juhudu za kuwapatanisha wawili hao zimeanza rasmi kutoka kwa viongozi mbali mbali huku sababu kuu ya mgogoro baina yao zikibainika.

Tags:

Mike Sonko JUBILEE Polycarp Igathe

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories