Viongozi wa Jubilee waendelea na kampeni
Published on: August 03, 2017 09:07 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wametoa hakikisho kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki na kuwa hakuna yeyote yule aliye na njama ya kuiba kura kama inavyodaiwa na wapinzani. Wawili hao wamewataka viongozi wa Nasa kuacha kupoteza muda kwa kuzua madai ya kila mara na badala yake watafute kura kwa wananchi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment