Viongozi wa Jubilee wakita kambi Embu
Published on: June 29, 2017 08:53 (EAT)
Rhumba la Jubilee hii leo lilisakatwa katika kaunti ya Embu, pale ambapo suala la ufisadi lilipewa kipau mbele huku Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wakiwasuta viongozi wa upinzani kwa kile walikitaja kama kutumia fedha zilizopatikana kupitia sakata za ufisadi kufadhili kampeni zao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment