Viongozi wa Jubilee wapiga kampeni Embu, Machakos
Published on: July 30, 2017 08:19 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine amekanusha madai kuwa serikali ina njama ya kutumia vikosi vya usalama kuvuruga uchaguzi na kuwataka wakenya kuombea amani wakati wa uchaguzi. Rais kenyatta ambaye pia alikashifu upinzani kwa kuacha kuingiza jina la jeshi katika siasa. Aliyasema haya alipoendeleza kampeni za Jubilee katika kaunti za Embu na Machakos
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment