Viongozi wa kidini watoa wito wa kudumishwa amani
Published on: January 02, 2017 08:31 (EAT)
Viongozi wa kidini wakiwemo kutoka baraza kuu la waislamu nchini Kenya – Supkem na wale wa makanisa wamewasihi wagombea katika uchaguzi ujao kuendesha kampeni zao kwa njia za amani. Aidha viongozi hao wameitaka serikali kuhakikisha usalama na amani wakati taifa linapoelekea kwenye debe mwaka huu
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment