Viongozi wa kidini watoa wito wa kudumishwa amani

Viongozi wa kidini wakiwemo kutoka baraza kuu la waislamu nchini Kenya – Supkem na wale wa makanisa wamewasihi wagombea katika uchaguzi ujao kuendesha  kampeni zao kwa njia za amani. Aidha viongozi hao wameitaka serikali kuhakikisha usalama na amani wakati taifa linapoelekea kwenye debe mwaka huu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories