Viongozi wa NASA wafanya kampeni Bungoma

Vigogo wa upinzani hii leo wamekita kambi katika kaunti ya Bungoma na kuuza sera za NASA huku wakiwataka wakazi wa kaunti hiyo kuwapigia kura siku ya uchaguzi. Raila Odinga ambaye aliongoza mikutano hiyo amesema  kuwa NASA itahakikisha kuwa manifesto yake imetimia ili kuboresha maisha ya wakenya.

Tags:

raila odinga bungoma NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories