Viongozi wa NASA wafanya kampeni Bungoma
Published on: June 23, 2017 08:15 (EAT)
Vigogo wa upinzani hii leo wamekita kambi katika kaunti ya Bungoma na kuuza sera za NASA huku wakiwataka wakazi wa kaunti hiyo kuwapigia kura siku ya uchaguzi. Raila Odinga ambaye aliongoza mikutano hiyo amesema kuwa NASA itahakikisha kuwa manifesto yake imetimia ili kuboresha maisha ya wakenya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment