Viongozi wa NASA wafanya kampeni Kibra
Published on: October 14, 2017 08:22 (EAT)
Wabunge wa muungano wa NASA wanaitaka tume ya uchaguzi nchini IEBC kuondoa jina la kinara wa NASA Raila Odinga katika orodha ya wale watakaoshiriki katika marudio ya uchaguzi. Wabunge hao wakiongozwa na seneta wa Siaya James Orengo wamesema kuwa upinzani hautaruhusu uchaguzi kufanyika Oktoba 26, haya yalisemwa katika mkutano wao wa kisiasa katika eneo la Kibra.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment