Viongozi wa NASA wafanya kampeni Narok

Viongozi wa nasa wamewakemea vinara wa jubilee rais uhuru kenyatta na naibu wake william ruto kwa madai kuwa wanafadhiliwa na wafisadi. Raila odinga aidha ameahidi kuwa nasa itafanya kila juhudi kutekeleza manifesto yake. Haya yalisemwa katika mji wa Narok ambapo wana -NASA walipeleka kampeni zao hii leo. Steven letoo na taarifa hiyo

Tags:

raila odinga narok Migori NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories