Viongozi wa NASA wajinadi jijini Nairobi
Published on: July 23, 2017 07:48 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga ameikashifu serikali vikali kufuatia madai ya kaimu waziri wa usalama Fred Matiang’i kutangaza kuwa maajenti maalum wa NASA hawataruhusiwa katika vituo cha kupigia kura. Vinara wa NASA wakihutubia mkutano wa kisiasa hapa Nairobi wamewataka wafuasi wao kutotishika siku ya uchaguzi. Stephen ole letoo na taarifa hiyo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment