Viongozi wa NASA wakabiliwa wakijaribu kumnasua Babu Owino
Published on: January 20, 2018 08:42 (EAT)
Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino ataendelea kuzuiliwa katika kituo cha polisi cha Parklands hadi siku ya Jumatatu atakapofikishwa mahakamani. Polisi hii leo walidinda kumuachilia Babu Owino hata baada ya vinara wa NASA Raila Odinga na Moses Wetangula kufika katika kituo cha polisi cha Parklands kumtaka awachiliwe.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment