Viongozi wa NASA walazimika kufuta mkutano wao Meru
Published on: October 17, 2017 07:55 (EAT)
Mkutano wa kisiasa wa muungano wa NASA uliokuwa ufanyike katika eneo la Laare kaunti ya Meru ulitibuka ghafla. Vinara wa NASA ambao walikuwa wameeleka katika uwanja wa ndege wa Wilson tayari kwa safari, walilazimika kuahirisha ziara hiyo kwani wafuasi wa Jubilee na NASA walikuwa wanakabiliana vikali katika eneo la mkutano.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment