Viongozi wa NASA wasema Jubilee inakwamisha uchaguzi
Published on: June 15, 2017 09:00 (EAT)
Vigogo wa NASA hii leo wameelekeza kampeni zao katika kaunti ya Kajiado na kupigia upatu manifesto ya upinzani. Vinara hao wakiongozwa na Raila Odinga aidha Wamewataka wapinzani wao wa Jubilee Kukoma kuendeleza kampeni za kuwagawanya Wakenya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment