Viongozi wa upinzani wachanganyikiwa Bomas
Published on: January 11, 2017 08:44 (EAT)
Ukumbi wa Bomas leo ulikuwa eneo la kuisuta serikali ya Jubilee mbali na kutangaza azimio la muungao mkuu wa vyama vya upinzani. Hata hivyo, hafla hiyo haikukosa mushkili licha ya kuhudhuriwa na idadai kubwa wa wafuasi wa CORD.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment