Viongozi wa upinzani wachanganyikiwa Bomas
Published on: January 11, 2017 08:44 (EAT)
Ukumbi wa Bomas leo ulikuwa eneo la kuisuta serikali ya Jubilee mbali na kutangaza azimio la muungao mkuu wa vyama vya upinzani. Hata hivyo, hafla hiyo haikukosa mushkili licha ya kuhudhuriwa na idadai kubwa wa wafuasi wa CORD.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment