Viongozi wa upinzani wamepunguza shughuli za kampeni

Kiongozi wa Nasa Raila Odinga sasa anawataka wananchi kumiminika mitaani na kufanya maandamano ya kila Jumatatu na Ijumaa kupinga kile anachokitaja kama njama ya serikali ya hujumu uhuru wa asasi mbalimbali. Raila anasema kuwa marekebisho ya sheria ambayo Jubilee inashinikiza Bungeni yanairejesha taifa katika mfumo wa kiimla na kuwa upinzani hautakaa kitako na kuangalia hayo yakifanyika.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories