Viongozi wa upinzani wazuru Turkana
Published on: July 27, 2017 09:06 (EAT)
Kampeni za muungano wa Nasa hii leo zilielekezwa katika kaunti ya Turkana ambapo kinara wa muungano huo Raila Odinga ameahidi kuwa asilimia 20 ya mapato ya mafuta kutoka kaunti hiyo itarejeshwa kwa huko kuinua miundo msingi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment