Viongozi wajumuika kumpa Gachagua heshima za mwisho

Hatimaye aliyekuwa gavana wa nyeri james nderitu gachagua amezikwa hii leo katika mazishi yaliyoandaliwa nyuymbani kwake katika eneo bunge la mathira, kaunti ya nyeri. Waliohudhura mazishi hayo wakiwemo rais Uhuru Kenyatta, kinara wa upinzani Raila Odinga na Rais mstaafu Mwai Kibaki, walimtaja mwendazake kama kiongozi shupavu aliyesisitiza haja ya maendeleonchini pamoja na kutetea ugatuzi katika kaunti. Stephen letoo na taarifa hiyo

 

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories