Viongozi wajumuika kumpa Gachagua heshima za mwisho
Published on: March 06, 2017 09:49 (EAT)
Hatimaye aliyekuwa gavana wa nyeri james nderitu gachagua amezikwa hii leo katika mazishi yaliyoandaliwa nyuymbani kwake katika eneo bunge la mathira, kaunti ya nyeri. Waliohudhura mazishi hayo wakiwemo rais Uhuru Kenyatta, kinara wa upinzani Raila Odinga na Rais mstaafu Mwai Kibaki, walimtaja mwendazake kama kiongozi shupavu aliyesisitiza haja ya maendeleonchini pamoja na kutetea ugatuzi katika kaunti. Stephen letoo na taarifa hiyo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment