Vita dhidi ya mihadarati

Maafisa wa polisi wanawazuilia wamewakamata watu 9 kwa tuhuma za kuhusika na biashara ya ulanguzi wa mihadarati katika kaunti za mombasa na kilifi. Polisi walifanikiwa kuapata   kilo 15 za  heroine  na shilingi milioni 18 kutoka kwa washukiwa hao.  Mwanahabari wetu gatete njoroge na taarifa hiyo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories