Vituo vya Huduma Centre vilifunguliwa Jumapili kuruhusu watu wachukue vitambulisho

Ni watu wachahche waliojitokeza katika vituo vya huduma centre kuchukua vitambulisho vyao vitakavyowezesha kupiga kura hapo siku ya Jumanne. Katika jiji la Mombasa ni watu wachache waliojitokeza licha ya serikali kutangaza kwamba vituo hivi vitafunguliwa hadi leo Jumapili.

Tags:

HUDUMA CENTRE Mombasa KURA uchaguzi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories