Viwango vya ushuru kupunguzwa kidogo kuanzia Januari
Published on: December 08, 2017 08:20 (EAT)
Mapema mwaka ujao wakenya watafaidikia kutokana na mabadiliko katika mfumo wa utozaji ushuru. Kupanuliwa kwa asilimia kumi kwa viwango vya utozaji ushuru sawa na kuongezeka kwa msaada wa ushuru kutasababisha kupungua kwa kiwango cha ushuru wanachotozwa wakenya wanaolipwa mishahara.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment