Viwavi jeshi wavamia mashamba Kwale
Published on: June 29, 2017 08:51 (EAT)
Wakulima katika eneo la Mivumoni kule Msambweni kaunti ya Kwale wanakadiria hasara kubwa baada ya viwavi kuvamia mashamba yao na kuharibu mazao kama vile mahindi na mboga.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment