Vuguvugu la NASA lawataka wafuasi kususia huduma za Safaricom

Muungamo wa NASA umetoa orodha ya kampuni na huduma ambazo wanawataka wafuasi wake kususia bidhaa na huduma zake. Kampuni hizo ni pamoja na kampuni ya Maziwa ya Brookeside, Bidco na Kampuni za huduma za simu, Safaricom. Kulingana na NASA, kampuni hizo zina uhusiano na serikali ya Jubilee na pia zilihusika kwa njia moja ama nyingine kuboronga uchaguzi mkuu.

Tags:

Safaricom Bidco Brookeside NASA resistance movement

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories