Vurumai lazuka katika shule ya upili ya Friends, Kamusinga
Published on: January 10, 2018 08:10 (EAT)
Wakaazi wa eneo la Bungoma wakiongozwa na baadhi ya wawakilishi wa wadi wa eneo hilo hii leo walizua mtafaruku katika shule ya upili ya Friends Kamusinga wakitaka kumfurusha mwalimu mkuu mpya. Wakaazi hao waliokuwa ghadhabu wanasema tajriba ya mwalimu huyo mpya haiambatani na hadhi ya shule hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment