Vyama 10 havijapeleka orodha ya wagombeaji

Kizaazaa kinatokota kati ya tume ya uchaguzi iebc na chama  cha odm baada ya kinara wa chama hicho raila odinga kutangaza kuwa shughuli ya kura za mchujo itaendelea kama ilivyoratibiwa ijumaa hii licha ya iebc kutaja shughuli ya aina hiyo kuwa kinyume cha sheria.

Mwenyekiti wa Iebc Wafula Chebukati anasema vyama vyote vya kisiasa vinafaa kungojea kuchapishwa kwa orodha ya wawaniaji na kuandaa chaguzi za mchujo kuanzia alhamisi ijayo.

 

Tags:

Wafula Chebukati

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories