Vyama 10 havijapeleka orodha ya wagombeaji
Published on: April 05, 2017 07:36 (EAT)
Kizaazaa kinatokota kati ya tume ya uchaguzi iebc na chama cha odm baada ya kinara wa chama hicho raila odinga kutangaza kuwa shughuli ya kura za mchujo itaendelea kama ilivyoratibiwa ijumaa hii licha ya iebc kutaja shughuli ya aina hiyo kuwa kinyume cha sheria.
Mwenyekiti wa Iebc Wafula Chebukati anasema vyama vyote vya kisiasa vinafaa kungojea kuchapishwa kwa orodha ya wawaniaji na kuandaa chaguzi za mchujo kuanzia alhamisi ijayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment