Waandamanaji waiba mali dukani Kisumu
Published on: October 06, 2017 09:07 (EAT)
Muungano wa NASA hii leo uliandaa maandamano katika miji tofauti ikiwemo Nairobi, Kisumu, na Mombasa. Hata hivyo, mji wa Kisumu ulighubikwa na wizi na uharibifu wa mali huku polisi wakilazimika kutumia vitoza machozi kudhibiti hali.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment