Waandamanaji watatu wapigwa risasi Bondo
Published on: October 13, 2017 08:19 (EAT)
Watu 3 wameuawa kufuatia makabiliano ya waandamanaji wa muungano wa NASA na maafisa wa polisi katika kaunti ya Kisumu. Wafuasi wa NASA walikaidi amri ya serikali na kuingia katikati ya miji wakiwataka maafisa wa IEBC wanaotuhumiwa kuboronga uchaguzi wa Agosti nane wajiuzulu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment